Dunia nzima imekuwa kwenye mjadala mkali kuhusu vurugu zinazoendelea nchini Afrika ya kusini, Rais mwenye umri mkubwa kuliko maraisi wote barani Afrika Mh.Robert Mugabe amekemea vitendo vya ubinafsi na ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanywa na wazawa wa Afrika kusini.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Rais Mugabe amesema, inashangaza kuona 'wazawa' wanaweza kuiangusha sanamu ya wazungu lakini hawawezi kumuua mzungu aliye hai isipokuwa mtu mweusi mwenzao.
Hakika ni wkwti wa jumuiya ya kimataifa kukemea vitendo hivi