Ni dhahiri kumekuwa na maneno ya hapa na pale kuhusu sakata la aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini kufukuzwa uanachama wa CHADEMA kutokana na tuhuma za usaliti.Pamoja na kutangazwa rasmi katika vyombo vya habari kuwa Zuberi Zitto si mwanachama wa CHADEMA...
Read moresiasa
Robert Mugabe, Rais aliyekerwa na vurugu za Afrika kusini
Dunia nzima imekuwa kwenye mjadala mkali kuhusu vurugu zinazoendelea nchini Afrika ya kusini, Rais mwenye umri mkubwa kuliko maraisi wote barani Afrika Mh.Robert Mugabe amekemea vitendo vya ubinafsi na ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanywa na wazawa...
Read more