Katika hali inayoashiria kupungua kwa imani na ubinadamu nchini Tanzania, watu wanaosadikika kuwa majambazi wamefanya tukio la ajabu mno baada ya kufukua kaburi la marehemu na kuiba vitu kadhaa. Tukio hilo limetokea aprili 24 mwaka huu katika eneo la...
Read moreIsome barua ya Kung'atuka ubunge ya Mhe.Zitto Kabwe!
Ni dhahiri kumekuwa na maneno ya hapa na pale kuhusu sakata la aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini kufukuzwa uanachama wa CHADEMA kutokana na tuhuma za usaliti.Pamoja na kutangazwa rasmi katika vyombo vya habari kuwa Zuberi Zitto si mwanachama wa CHADEMA...
Read moreYamini Karanam: Mwanamke aliyekutwa na mimba ubongoni
Yaman Karanam Kuna mwimbaji mmoja wa nyimbo za Kiafrika anaimba kwamba, "Dunia hii mama,mwendo wa ngamia....." Mimi sijui mwendo wa ngamia ukoje maana zaidi ya kutazama video na picha, kule kwetu nyanda za juu kusini hakuna ngamia na hata maeneo mengine...
Read moreJe, tuamini viongozi wa ACT hawataki madaraka?
Mhe.Zitto Kabwe akiwa na Dr.Kitila Mkumbo dakika chache baada ya kujiunga na chama cha ACT. Unajua utu uzima dawa, ni katika hatua hii ya utu uzima ndipo unapoweza kutofutisha pumba na mchele ktik maisha.Umewahi kujiuliza mantiki ya methali isemayo mtaka...
Read moreKatuni; Kipanya na wasaka Urais
Fafanua,elewa kisha ng'amua Je, huyo ni nani na anatoa taswira gani? Jibu baki nalo mwenyewe mpaka october 30,2015
Read moreMwanafunzi auawa kwa kosa la kufeli kiswahili
Katika kile kinachoonesha kuwa kampeni ya 'Learn without fear' haijakubalika miongoni mwa walimu wengi nchini, Mwanafunzi mmoja katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara alipigwa na walimu wake hadi kufa muda mfupi baadaye kwa kile kinachodaiwa kuwa alifeli...
Read moreWakenya zaidi ya 280 wakimbilia Tanzania
Katika kile kinachotanabaisha hali tete ya usalama nchini Kenya, raia zaidi ya 280 wameripotiwa kuikimbia nchi yao na kukimbilia Tanzania kutafuta hifadhi na fursa za kiuchumi kinyume cha sheria. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na gazeti la 'Jamhuri,...
Read moreGuardiola:Ushindi wa kufa na kupona
Ushindi wa timu ya Bayern Munich ya Ujerumani dhidi ya FC Porto ya Ureno umetajwa kuwa ushindi wa kujihami kwa maana ya kufa au kupona kutokana na mazingira ya mechi yenyewe. Alipokuwa akizungumza na kituo cha televisheni cha ZDF, kocha mkuu wa klabu...
Read moreRobert Mugabe, Rais aliyekerwa na vurugu za Afrika kusini
Dunia nzima imekuwa kwenye mjadala mkali kuhusu vurugu zinazoendelea nchini Afrika ya kusini, Rais mwenye umri mkubwa kuliko maraisi wote barani Afrika Mh.Robert Mugabe amekemea vitendo vya ubinafsi na ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanywa na wazawa...
Read moreTop 5 ya watoto wa wasanii waliotokelezea April 2015
Mungu yu mwema kwa kuwajalia wanadamu ili wazae na kuujaza ulimwengu, bila hivyo sijui ingekuwaje! Bila shaka kusingekuwa na kizazi cha binadamu na kubwa zaidi, tusingekuwa tunawasiliana wakati huu. Sasa nakupa mchanyato kwa hisani kubwa ya Bongo5, hii...
Read more